Unordered List


MEMBE APATA UDHAMINI WA KUTOSHA PWANI

MEMBE AUTEKA MKOA WA PWANI KWA KUPATA WAZAMINI ZAIDI YA ELFU ISHIRINI

Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe akisalimiana na baadhi ya wananchi wa mkoa wa Pwani waliojitokeza kwa wingi kuja kumdhamini katika kuwania uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Waziri wa mambo ya nje na ushirikino wa kimataifa Mh.Benard Membe akipokea fomu za udhamini wa kuwania uraisi toka kwa mmoja ya wanachama wa chama cha Mapinduzi mkoani Pwani.
Waziri wa  Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernad Membe akiwahutubia wakazi wa Mkoa wa Pwani kwa kujitokeza kwa wingi kumdhamini katika kuwania uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

NA ADINANI JUMA

Chapisha Maoni

0 Maoni