MBEZI LUIS NA BASIHAYA, KUJENGWA VITUO VYA MABASI YAENDAYO MIKOANI
Msemaji
wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bw. Gaston Makwembe KUSHOTO
akiwaeleza waandishi wa habari Mpango wa Halmashauri kujenga vituo vya
Mabasi yaendayo mikoani na nchi za jirani katika maeneo ya Mbezi Luis na
Boko Basihaya katika mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es
Salaam KULIA ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.
hdg
Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii katika mwaka huu wa fedha linatarajia
kukusanya mapato ya Tshs. Billion 706.41 kutoka kwenye michango ya
wanachama ambao hadi mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu shirika lilikua
na wanachama 522,763 kwa nchi nzima.
Taarifa
iliyotolewa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii kwa waandishi wa
habari imeeleza kwamba kiasi hicho cha michango kitatokana na
uandikishaji wa wanachama 169,241 wa mpango wa lazima na wanachama
85,158 wanaojiunga na NSSF kwa njia ya hiari.Katika kipindi hicho
waajiri 3,062 wanatarajia kuandikishwa kwenye Shirika kuungana na
waajiri 19,231 wa sasa na kufanya ongezeko la asilimia 84.07%.
Taarifa pia imeeleza kuwa kiasi cha mafao kitakacholipwa ni shilingi bilioni 199 kwa wanachama watakaoacha au kustaafu kazi katika mwaka huu wa fedha.
Taarifa pia imeeleza kuwa kiasi cha mafao kitakacholipwa ni shilingi bilioni 199 kwa wanachama watakaoacha au kustaafu kazi katika mwaka huu wa fedha.
hdg
Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel aliyesimama akisisitiza jambo
wakati wa uzinduzi wa semina ya siku mbili kwa wanafunzi wa Shule ya
Sekondari Benjamin William Mkapa jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni
Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Bibi Mwinda Kiula Mfugale,
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Bibi Mizinga Melu na kulia ni Mkuu wa Shule
ya Sekondari Benjamini William Mkapa Mwl. Gebo Steven Lugano.
hdg
Syrian
anti-government activists accused the regime of carrying out a toxic gas
attack that killed at least 100 people, including many children, during
intense artillery and rocket barrages Wednesday on the eastern suburbs
of Damascus, part of a fierce government offensive in the area.
The
attack coincided with the visit by a 20-member U.N. chemical weapons
team to Syria to investigate three sites where chemical weapons attacks
allegedly occurred during the past year. Their presence raises questions
about why the regime – which called the claims of the attack Wednesday
"absolutely baseless" – would use chemical agents at this time.
hdg
Bibi wa makamanda wangu.Ngobedi, Mzenga, Kisarawe mchana huu.
Comments!
Anna Peter Apema Haki nakuapia kaka Maggid Mjengwa hututendei haki hata kidogo,mambo gani sasa haya
21 minutes ago · Like · 1
Zawadi Ngailo-Nzungu Yummyyyyyy
16 minutes ago · Like
Mohammed Mgori I love your Family
11 minutes ago · Like
P.T
Katika michezo sehemu ya uwanja wa klabu ya Lazio ya Italia imefungwa kwa mechi moja pekee kufuatia mashabiki kuwatusi wachezaji weusi. (HM)
P.T
P.T
Kocha
Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen ameita kambini wachezaji 24 kujiandaa
kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Gambia itakayochezwa
Septemba 7 mwaka huu nchini humo.
Wachezaji hao wanatakiwa kuripoti kambini Agosti 29 mwaka huu kabla ya saa 1 kamili usiku. Kambi ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itakuwa kwenye hoteli ya Accommondia jijini Dar es Salaam. (HM)
Soma zaidi...
Wachezaji hao wanatakiwa kuripoti kambini Agosti 29 mwaka huu kabla ya saa 1 kamili usiku. Kambi ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itakuwa kwenye hoteli ya Accommondia jijini Dar es Salaam. (HM)
Uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda unazidi kudorora kutokana vyombo vya habari na baadhi ya maofisa wa nchi hiyo kuanza 'kuichokonoa familia ya Rais Jakaya Kikwete'. (HM)
Kila mji una utambulisho wake, kubomoabomoa kila jengo ni kufuta utambulisho huo. Na hakika, kuendelea kuruhusu bomoabomoa hii isiyozingatia umuhimu wa baadhi ya majengo yetu kwa historia yetu, ni sawa na kuruhusu ujangili dhidi ya majengo yetu ya kihistoria. Ni ujangili kama wa kuua tembo wetu. Inasikitisha.
Maggid,
P.T
P.T
Waziri wa
Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewashukia waendesha mashitaka na
wapelelezi kesi zinazohusiana na dawa za kulevya kuwa hadi sasa
zimefikia 36 lakini hakuna taarifa zake.
Mwakyembe
aliyasema hayo wakati akizungumza kwenye Kipindi cha Jenerali On Monday
kilichorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten juzi usiku.
hdg
Jaji wa mahakama kuu Chinembiri Bhunu amesema waendesha mashtaka watafahamishwa kuhusu tuhuma hizo. Haya yanajiri wakati chama cha Tsvangirai cha Movement For Democratic Change kimepoteza kesi mbili kulalamikia uchaguzi mkuu wa Julai 31 mwaka huu.
P.T
P.T
P.T
PROFESA Wamba Dia Wamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete iliyozua mvutano kati ya Rais wa Rwanda Paul Kagame na Tanzania, na kudai kikwete yuko sahihi.
Profesa Wamba mtaalamu wa historia aliunga mkono kauli ya Rais Kikwete alipokuwa akifanya mazungumzo na baadhi ya wadau wa Mtandao wa Wanabidii waliomtembelea nyumbani kwake nchini Tanzania na kuzungumza naye masuala anuai ya Afrika.
P.T
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akimuapisha Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini kuwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Ikulu na Utawala Bora,katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa ikulu
Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] M.M
P.T
- Start
0 Maoni