MAADHIMISHO A MIKA 50 YA SEKONDARI YAWERUWERU
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda , Mkewe Tunu (wapili kulia),Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka (kulia), Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Mary Nagu (kulia) kwa Waziri Mkuu na
Mkuuwa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama wakitazama vitu mbalimbali vya
mazoezi katika maabara ya Baiolojia katika maadhimisho ya Shule ya
Sekondari ya Wasicha ya Weruweru yaliyofanyika shuleni hapo. Septemba 21,
1013
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Bwalo la Shule ya Sekondari ya
Wasichana ya Weruweru ya Moshi Vijijini ikiwa na sehemu ya maadhimisho ya
mi... more »
0 Maoni