Unordered List


MKT WA UVCCM TAIFA SADIFA JUMA KHAMIS AFUNIKA IRINGA,CHADEMA WAPATA HOFU NA ZIHARA YAKE

katika ziara yake hiyo juzi aliambatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji na maofisa wa makao makuu akiwamo Seki Kasuga ambae pia ni mjumbe wa baraza kuu Taifa akiwakilisha mkoa wa Iringa.

pamoja na kuyatikisa matawi ya chadema Iringa hali iliyomfanya mbunge wa CHADEMA kupiga simu mara kwa mara kwa baadhi ya vijana Iringa akiwaomba vijana wake wasishiriki ziara hiyo jambo ambalo halikufanikiwa.

Mwenyekiti Sadifa alifungua kambi ya vijana Iringa na kutembelea chuo cha Ihemi,alipokea bendera mpakani mwa wilaya ya  Iringa vijijini na Mufindi,alikutana na vijana katika mikutano ya ndani na nje.

huu ni muendelezo wa mashambulizi yanayofanywa na CCM na jumuiya zake kila kona ya nchi kufuta uongo na uzushi uliosambazwa na vyama vya upinzani hasa chadema

Chapisha Maoni

0 Maoni