Unordered List


Makamu wa Rais Dkt Bilal afungua mkutano wa Mabunge ya SADC mjini Arusha leo

Makamu wa Rais Dkt Bilal afungua mkutano wa Mabunge ya SADC mjini Arusha leo

Imetumwa kwenye Jamii
vice_7d4d2.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha leo 20 Octoba 2013.
lema_8d979.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbles Lema nje ya ukumbi wa mikutano wa A I C C Arusha, Baada ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha leo 20 Octoba 2013. Kushoto Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari.
pindu_29aa4.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Pandu Ameir kificho kabla ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC leo Octoba 20, 2013 katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha.
speaker_2989f.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia vikundi vya sanaa vya ngoma za aina mbalimbali alipowasili katika Jengo la Ukumbi wa mikutano A I C C mjini Arusha kwa ajili ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC leo Octoba 20, 2013.
(Picha na OMR) (P.T)

Mpira umemalizika, Simba SC 3 -3 Young Africans

Imetumwa kwenye Michezo
4_6_55973.jpg
Ngassa dkk 14, Kiiza dkk 35, 45
Mombeki dkk 55, Owino dkk 57, Kaze dkk 84(P.T)

Chapisha Maoni

0 Maoni