Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu
Nyerere, Joseph Butiki akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma
ya kupata hotuba za Marehemu baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage
Nyerere iliyofanyika kwenye hotel ya Double Tree jana. Ili kuweza kupata
hotuba za maneno na picha za video unatakiwa kutuma neno Hotuba kwenda
namba 15678, pia unaweza kupata huduma hiyo kwa kutumia
www.simu.tv/nyerere mobile tv. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Push
Media Mobile Freddie Manento
0 Maoni