Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akifafanua jambo wakati wa kikao
maalum cha ndani na wakazi wa eneo la Nyamongo, ambapo wananchi wa eneo
hilo walikuwa wakieleza kero zao na wamiliki wa mgodi wa North Mara
Ndugu
Elizabeth Malembela akielezea jinsi utaratibu ulivyombovu wa kuwahamisha
na kuwalipa fidia wakazi wanaoishi kando kando ya mgodi wa North Mara.
Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisikiliza kwa makini malalamiko ya
wananchi wa Nyamongo juu ya ukiukwaji wa utaratibu na mikataba baina ya
wawekezaji na Wanavijiji.(P.T)
0 Maoni