Ile Ziara ya Viongozi wa UVCCM Mkoani morogoro imeendelea tena leo kwa Hali, Nguvu, na Kasi zaidi,
Leo hii wametembelea na Kuzindua Shina la UVCCM, Hivo hii ni mikakati endelevu kuhakikisha tunazidi weka mambo sawa kwa Wananchi wetu wanazidi kupotoshwa na kundi la wanasiasa Uchwala, Hivo Tunawakalibisha Raia kujitokeza kwa wingi ktk mikutano ili kuwaelimisha kwa Ukweli na Uhakika.
Hapa ni wananchi wa Kilosa wakiwa ktk Eneo la Mkutano na uzinduzi wa Shina la UVCCM
0 Maoni