Ziara ya viongozi wa UVCCM Mkoa wa Morogoro, Wakiongozwa na na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Morogoro Bi Heriet Sutta.
Na Mjimbe wa Baraza Kukuu UVCCM Taifa Ndugu Asenga Abubakar.
Wameanza ziara Ulanga na sasa wapo Ifakara Wilaya ya Kilimbero.
Na kesho watakuwa Kilosa.
Pamoja na Viongozi hao kuna wajumba wa Kamati ya utekelezaji ya Mkoa
1.Robert Selasela
2.Heri Hoza.
3.Bupe Fred
4. Dan Mhanzo
5. Prisca Kahumbi
Hapa ni Kamanda Sophia Mfaume Mjumbe wa akimwaga sera zake kwa vijana wenzie.
Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa Ndugu Abubakar Asenga.
Vijana na Viongozi hao wa UVCCM walitembelea na Kukagua ujenzi wa Draja la Kilombero.
Ujenz wa daraja la kilombero
Rais Kikwete ameahidi na anatekeleza
Wananchi na Vijana wa Morogoro wakisikiliza kwa Mkini Viongozi wao wa UVCCM kwa sera na Hoja za Kulijenga Taifa letu.Rais Kikwete ameahidi na anatekeleza
Katikati ni Asenga, Kulia ni Sophia na Kiongozi Kamanda UVCCM
Wajumbe wakisikiliza kwa Makini
Ziara moro wanasonga kijiji kwa kijiji
Lazima wananch wapate elim ya kutosha kutoharib mazingira
Na wote waliopiga wananch ktk opereshen Tokomeza wawajibike
Lazima wananch wapate elim ya kutosha kutoharib mazingira
Na wote waliopiga wananch ktk opereshen Tokomeza wawajibike
0 Maoni