Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati
Mhe. Ramadhan Shaaban akikata utepe wakati akifungu Jengo la Ofisi ya
Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kiliopo Kidongo Chekundu
nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za
miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mdhamini wa kitengo Shirikishi Afya
ya Mzazi na Mtoto Dkt. Ali Omar Ali akimfahamisha kitu Waziri wa Ardhi,
Makazi na Nishati Mhe. Ramadhan Shaaban alipokua akikagua jengo hilo
mara baada ya kulifungua huko Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa
Zanzibar.
Baadhi ya wageni walikwa waliohururia
katika ufunguzi wa Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama
na mtoto huko Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Afya Juma Duni Haji
akimkaribisha mgeni rasmin Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati Mhe.
Ramadhan Shaaban azungumze na wageni waalikwa katika sherehe za ufunguzi
wa Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto huko
Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati
Mhe. Ramadhan Shaaban akiwahutubia wageni walikwa katika ufunguzi wa
Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto liliopo
Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, ikiwa ni miongoni mwa
shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
0 Maoni