Unordered List


CCM KUAMINI MUUNDO SERIKALI MBILI


  • CCM bado inaamini katika Muundo wa Serikali mbili
  • CCM ina amini Muungano huu muhimu unadumishwa na kuimarishwa
  • Muundo tulionao uboreshwe
  • Tutangulize mbele Uzalendo na maslahi ya kweli ya nchi yetu.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti CCM Makao Makuu Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es Salaam ambapo alizungumzia imani ya CCM katika muundo wa serikali mbili.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisikiliza  baadhi ya maswali kutoka kwa waandishi wa habari waliohudhuria mkutano na waandishi wa habari kwenye Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Lumumba jijini Dar es salaam leo tarehe 20 Machi 2014.






Chapisha Maoni

2 Maoni