Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Baadhi ya Viongozi wa
Dini kwenye Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange wakati alipopita
kuwasalimia na kuwaomba ridhaa ya kumchagua kuwa Mbunge wa Jimbo la
Chalinze,Jana Machi 30,2014.Picha zote na Othman Michuzi.
Msanii
wa Muziki wa Kizazi kipya Sam wa Ukweli akitoa Burudani kwa wananchi wa
Kijiji cha Java,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Shangwe kwa wananchi wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange.
Wananchi wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange wakifatilia kwa makini Mkutano wa Kampeni za CCM.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana kwa furaha na wakinamama
wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa Makini Mzee Hussein
Mwindadi ambaye ni Baba wa Diwani wa Kata ya Mkange.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akitaniana na Mzee Nassor Samnamwanja
wa Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Wakazi
wa Kijiji cha Manda Mazingara wakiwa wameshika mabango ya Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati walipokuwa wakimkaribisha
Kijijini kwao.
Kikundi cha Kwaya ya Kijiji cha Manda Mazingara kikitoa Burudani.
wakisikiliza jambo kwa Makini.
Mwenyekiti
wa Kijiji cha Manda Mazingara,Ibrahim Rajab Mahede akizungumza wakati
wa kutoa taarifa ya Kijiji kwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye
Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.
Diwani
wa Kata ya Mkange,Abdallah Mwendadi akiwasalimia wananchi wake wakati
wa Mkutano wa Kampeni za CCM katika Kijiji cha Manda Mazingara jana
Machi 30,2014.
Meneja
wa Kampeni wa CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Steven
Kazidi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Manda Mazingara jana Machi
30,2014.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akinadi sera zake kwa wananchi wa
Kijiji cha Manda Mazingara wakati wa Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika
jana Machi 30,2014.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsalimia Mzee Salum Ramadhan
Satajiri.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akionyeshwa maendeleo ua ujenzi wa
Msikiti (haupo pichani) na Sheikh Yahya Abdullah Imam wa Msikiti huo.
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza machache na wananchi wa
kijiji cha Chamakuru,aliposimama kuwasalimia akiwa safarini kwenye
Kijiji cha Miono.
Wananchi wa Kijiji cha Manda Mazinga wakifatilia kwa makini Mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika jana Machi 30,2014.
KINANA NDANI YA MJI MDOGO WA NAMANYERE, WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na kinamama wa hamasa,
baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika, Jumapili, Machi
30, 2014, katika mji mdogo wa Namanyere, wilayani Nkasi akiwa katika
ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na kusikiliza kero za
wananchi na kujadiliana nao njia za kizitatua, katika mkoa wa Rukwa.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano huo uliofanyika katika mji mdogo wa Namanyere wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Jumapili, Machi 30, 2014.
Kijana Elias Yeremia akimuuliza swali Kinana jukwaani, katika mkutano huo wa Namanyere, Nkasi mkoani Rukwa
Mjumbe wa NEC, Balozi Ali Karume akihutubia mkutano huo wa Namanyere
Vijana wa Namanyere wakiwa wamepanda juu ya lori siyo kwa lengo la kusafiri bali kuhakikisha wanamuona Kinana kwenye mkutano huo wa Namanyere
Wazee wakimsikiliza kwa makini Kinana kwenye mkutano huo wa Namanyere
Mamia ya wananchi kwenye mkutano huo wa Kinana katika mji mdogo wa Namanyere
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa, Hypolitus Matete, akimshukuru Kinana kwa hotuba nzuri, mkuatno huo wa Namanyere
Kikundi cha matarumbeta kikitoa burudani kwenye mkutano huo wa Kinana katika mji mdogo wa Namanyere
Mzee Rogas Nkana akimpatia ushahidi wa vielelezo na nyaraka mbalimbali kuhusu mirathi ya binti yake ambayo amefuatilia kwa muda mrefu hadi sasa bila mafanikio. Mzee Nkana alidai mbele ya Kinana kwamba madai hayo kwa ajili ya mirathi ya kifo cha binti yake ambaye alifariki dunia mwaka 2000 akiwa mtumishi wa Wirzara ya Mambo ya Ndani katika Jeshi la Uhamiaji yamekuwa kitendawili licha ya kufuatilia katika ofisi husika. Mzee Nkana alipata fursa hiyo wakati Kinana alipoamua kukutana na waasisi wa Chama na mabalozi kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali katika ukumbi wa Community Centre katika mji mdogo wa Namayere wilayani Nkasi. Picha zote na Bashir Nkoromo wa CCM Blog
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano huo uliofanyika katika mji mdogo wa Namanyere wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Jumapili, Machi 30, 2014.
Kijana Elias Yeremia akimuuliza swali Kinana jukwaani, katika mkutano huo wa Namanyere, Nkasi mkoani Rukwa
Mjumbe wa NEC, Balozi Ali Karume akihutubia mkutano huo wa Namanyere
Vijana wa Namanyere wakiwa wamepanda juu ya lori siyo kwa lengo la kusafiri bali kuhakikisha wanamuona Kinana kwenye mkutano huo wa Namanyere
Wazee wakimsikiliza kwa makini Kinana kwenye mkutano huo wa Namanyere
Mamia ya wananchi kwenye mkutano huo wa Kinana katika mji mdogo wa Namanyere
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa, Hypolitus Matete, akimshukuru Kinana kwa hotuba nzuri, mkuatno huo wa Namanyere
Kikundi cha matarumbeta kikitoa burudani kwenye mkutano huo wa Kinana katika mji mdogo wa Namanyere
Mzee Rogas Nkana akimpatia ushahidi wa vielelezo na nyaraka mbalimbali kuhusu mirathi ya binti yake ambayo amefuatilia kwa muda mrefu hadi sasa bila mafanikio. Mzee Nkana alidai mbele ya Kinana kwamba madai hayo kwa ajili ya mirathi ya kifo cha binti yake ambaye alifariki dunia mwaka 2000 akiwa mtumishi wa Wirzara ya Mambo ya Ndani katika Jeshi la Uhamiaji yamekuwa kitendawili licha ya kufuatilia katika ofisi husika. Mzee Nkana alipata fursa hiyo wakati Kinana alipoamua kukutana na waasisi wa Chama na mabalozi kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali katika ukumbi wa Community Centre katika mji mdogo wa Namayere wilayani Nkasi. Picha zote na Bashir Nkoromo wa CCM Blog
0 Maoni