Jumamosi, 31 Mei 2014
RAIS DR SHEI AZUNGUMZA NA WANANCHI KATIKA KONGAMANO LA CCM ZANZIBAR
KINANA AMALIZA ZIARA WILAYA BABATI KWA NA KUFANYA MKUTANO MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia mamia ya wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa mjini Babati,

Kinana akiwapungia mkono wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa, kuhutrubia mkutano wa hadhara . Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Bodaboda zikitoka Ofisi ya CCM wilaya ya Babati kuongoza msafara kwenda uwanjani. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog
KINANA AINGIA BABATI MJINI
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji
cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya
kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa katika katika ziara ya
kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na
kujadiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya hiyo ya Babati mjini
mkoani Manyara. Katikati ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
na anayeshangilia kushoto ni Mbunge wa Hanag, Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezsshaji, Dk. Mary Nagu.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa katika katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya hiyo ya Babati mjini mkoani Manyara. Kushoto ni Mbunge wa Hanag, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezsshaji, Dk. Mary Nagu.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana (kushoto), akisalimia watumishi wa hospitali ya wilaya ya Babati, alipofika kwenye hospitali hiyo leo, akiwa katika ziara hiyo ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akipata maelezo kuhusu huduma za maabara katika hospitali hiyo ya wilaya ya Babati.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akishiriki ujenzi wa zahanati ya Malangi kata ya Maisaka, Babati Mjini leo
6. Nape akipanda mti Zahanati ya Malagi
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akikagua bweni alipotembelea shule ya sekondari ya Frederick Sumaye, Kata ya Singe, Babati mjini leo
Kinana akikagua ujenzi wa ujenzi wa ukumbi kwenye shule hiyo leo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa ngoma kuanza ziara ya siku moja katika wilaya ya Babati mjini leo. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa katika katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya hiyo ya Babati mjini mkoani Manyara. Kushoto ni Mbunge wa Hanag, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezsshaji, Dk. Mary Nagu.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana (kushoto), akisalimia watumishi wa hospitali ya wilaya ya Babati, alipofika kwenye hospitali hiyo leo, akiwa katika ziara hiyo ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akipata maelezo kuhusu huduma za maabara katika hospitali hiyo ya wilaya ya Babati.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akishiriki ujenzi wa zahanati ya Malangi kata ya Maisaka, Babati Mjini leo
6. Nape akipanda mti Zahanati ya Malagi
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akikagua bweni alipotembelea shule ya sekondari ya Frederick Sumaye, Kata ya Singe, Babati mjini leo
Kinana akikagua ujenzi wa ujenzi wa ukumbi kwenye shule hiyo leo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa ngoma kuanza ziara ya siku moja katika wilaya ya Babati mjini leo. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog
Ijumaa, 30 Mei 2014
KINANA: VIONGOZI WAACHE KUUZA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA WANAKIJIJI
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wamasai katika
kijiji cha Ayamango (Gallapo) ambapo alikuwa na kazi ya kufungua shina
la Wakereketwa Wajasiriamali na kuhutubia mkutano wa hadhara.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipandisha bendera ya CCM baada ya kuzindua shina la Wakereketwa Wajasiriamali la Ayamango.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana akipokea maneno ya usia baada ya kupewa heshima ya Mzee wa kabila la Wagoroa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipewa heshima ya kuwa kijana wa kabila la Wagoroa na Wazee wa kimila wa kijiji cha Ayamango.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango ambapo aliwaambia CCM imesimama imara kwa sera na mipango bora .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango na kuwaambia kazi kubwa ni kuimarisha chama ili kumuenzi Baba wa Taifa.Kinana pia alisema tatizo kubwa la migogoro ya ardhi wilayani Babati ni viongozi wa kijiji kuwa si waaminifu kwani wanauza ardhi hovyo bila kufuata taratibu wala kuwashirikisha wananchi wa kijiji husika.
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon akihutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi Computer kwa Mratibu wa Kituo Cha Mafunzo ya Ualimu Ndugu Andrea F Mzava ,Computer hizo zimetolewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti nje ya majengo ya Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470, Chuo hiki kimejengwa kwa udhamini wa Shirikia lisilo la Kiserikali la So They Can pamoja na Nguvu za wananchi ambao wamechangia milioni 25
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na viongozi wengine i wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa nyumba za Walimu wa Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470.
Jengo la Ofisi ya CCM Tawi la Mamire likiwa kwenye hatua za mwisho kukamilika.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipandisha bendera ya CCM baada ya kuzindua shina la Wakereketwa Wajasiriamali la Ayamango.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana akipokea maneno ya usia baada ya kupewa heshima ya Mzee wa kabila la Wagoroa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipewa heshima ya kuwa kijana wa kabila la Wagoroa na Wazee wa kimila wa kijiji cha Ayamango.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango ambapo aliwaambia CCM imesimama imara kwa sera na mipango bora .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango na kuwaambia kazi kubwa ni kuimarisha chama ili kumuenzi Baba wa Taifa.Kinana pia alisema tatizo kubwa la migogoro ya ardhi wilayani Babati ni viongozi wa kijiji kuwa si waaminifu kwani wanauza ardhi hovyo bila kufuata taratibu wala kuwashirikisha wananchi wa kijiji husika.
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon akihutubia wakazi wa kijiji cha Ayamango
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi Computer kwa Mratibu wa Kituo Cha Mafunzo ya Ualimu Ndugu Andrea F Mzava ,Computer hizo zimetolewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti nje ya majengo ya Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470, Chuo hiki kimejengwa kwa udhamini wa Shirikia lisilo la Kiserikali la So They Can pamoja na Nguvu za wananchi ambao wamechangia milioni 25
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na viongozi wengine i wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa nyumba za Walimu wa Chuo cha Ualimu Mamire ambacho kitakuwa chuo cha kwanza cha Ualimu mkoani Manyara ambacho ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 470.
Jengo la Ofisi ya CCM Tawi la Mamire likiwa kwenye hatua za mwisho kukamilika.
Alhamisi, 29 Mei 2014
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYA YA MBULU KWA MAFANIKIO
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mbulu na
kuwaambia vyama vingi vya upinzani vinakufa kwa sababu ya kuwa na sera
zisizoaminika kwa Watanzania na ameshukuru kwa Watanzania wengi kuelewa
hilo kiasi cha kurejea CCM.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wanakijiji cha
Bashei ambao walimueleza kuwa wanalima sana kitunguu saumu lakini soko
si zuri na kumuomba awasaidie kutafuta soko la kdumu, tatizo jingine ni
ucheleweshaji wa kujenga bwawa la maji, Katika ziara hizi za Katibu
Mkuu wananchi wamekuwa na imani kubwa na CCM kwa ushirikiano wanaoupata
kwani majibu ya maswali yao yanakuwa ya kuridhisha.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza kwa makini Mkuu wa
Wilaya ya Mbulu Anatory Choya akijibu maswali ya wananchi wa Yaeda Chini
ambao wamekuwa wakivamiwa na kufukuzwa kwenye ardhi yao,Mkuu wa Wilaya
alisema kwanza walishaweka mipango ya matumizi bora ya ardhi kuondoa
migogoro ya wakulima na wafugaji ,pili atafanya jitihada za dhati
kuwakamata wale wote wanaofukuza na kunyanyasa wananchi wengine kwenye
masuala ya ardhi.
Diwani wa Kata ya
Eshkesh kutoka chama cha CUF Ndugu Naftal Z Kihandu akishukuru kwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwa kuwasikiliza wananchi wa
kata yake na kufungua njia kwa kuchangia mabati na saruji kwa ajili ya
ujenzi wa Zahanati.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa nyumba ya mwalimu wa shule ya sekondari Yaeda chini.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Hydom na
kuwaambia wapunguze muda na mambo ya siasa ,watumie muda mwingi
kushikama na kujenga maendeleo yao.
Wananchi wa Hydom wakinyoosha mikono yao kuunga mkono jitihada za CCM katika kuleta maendeleo nchini.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha kadi ya Chadema
iliyorudishwa kwake na aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema
(BAWACHA) Victoria Mshanga ambaye amjiunga rasmi na CCM kwenye mkutano
wa hadhara uliofanyika Hydom.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga picha ya wanakijiji cha
Eshkesh pamoja na Richard Mwaikenda maarufu kama Kamanda wa
Matukio,Wananchi wa Eshkesh wanashida ya maji na Zahanati ambapo maji
yatapatikana karibuni kutokana na mipango ya halmashauri lakini zahanati
pia itaanza kujengwa baada ya Katibu Mkuu wa CCM kuhamasisha kwa kuanza
kuwachangia mabati na Simenti na halmashauri na wanakijiji hao
wataongezea nguvu kukamilisha.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongea na watumishi na wanafunzi wa uuguzi wa Hospitali ya Hydom .Katibu Mkuu aliupongeza Uongozi pamoja na Watumishi wa hospitali hiyo kwa kazi nzuri wanayoifanya hasa katika kupunguza vifo vya mama na mtoto.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wakati wa ujenzi wa daraja la Qorong'aida linalounganisha Kilimapunda na Kidarafa na linategemewa kugharimu zaidi ya bilioni moja.
Jumatano, 28 Mei 2014
KINANA ATINGISHA WILAYA YA HANANG
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi mjini
Endasaki, Hanang, jana, Mei 27, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na njia
sahihi ya kutatua kero hizo mkoani Manyara
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakiongozana na Vijana wa Kibarbeig kuingia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ofisi ya CCM Kateshi, jana, Mei 28, 2014.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM Katesh, mkoani Manyara
Kinana akihutubia kwenye mkutano huo wa Katesh
Mbunge wa Hanang, Mary Nagu akihutubia kueleza utekelezaji wa ilani ya CCM jimboni mwake kwenye mkutano huo wa Katesh
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Christina Mndeme akisalimia wananchi kwenye mkutano huo wa Katesh
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye na Mbunge wa Hanang Dk. Mary Nagu wakijadili jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Katesh mkoani Manyara, Mei 27, 2014. Sumaye amewahi pia kuwa mbunge wa Hanang.
Kinana akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Igembesabo iliyoibuka bingwa katika michuano ya Vijana wa jimbo la Hanang, wakati wa mkutano wa Katesh
Kinana na Nagu wakikabidhi mizinga ya nyuki kwa vikundi vya vijana Katesh
Mwanachama wa Chadema akirudisha kadi yake kwa Kinana alipoamua kuhamia CCM kwenye mkutano wa Katesh
Kinana akipiga mpira wakati Nagu akisubiri kuudaka, wakati wa ufunguzi mashindano ya vijana Endasaki
Kinana na Sumaye wakishiriki ujenzi Ofisi ya CCM tawi la Qaroda, Hanang. Picha zote naBashir Nkoromo, CCM Blog
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakiongozana na Vijana wa Kibarbeig kuingia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ofisi ya CCM Kateshi, jana, Mei 28, 2014.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM Katesh, mkoani Manyara
Kinana akihutubia kwenye mkutano huo wa Katesh
Mbunge wa Hanang, Mary Nagu akihutubia kueleza utekelezaji wa ilani ya CCM jimboni mwake kwenye mkutano huo wa Katesh
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Christina Mndeme akisalimia wananchi kwenye mkutano huo wa Katesh
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye na Mbunge wa Hanang Dk. Mary Nagu wakijadili jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Katesh mkoani Manyara, Mei 27, 2014. Sumaye amewahi pia kuwa mbunge wa Hanang.
Kinana akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Igembesabo iliyoibuka bingwa katika michuano ya Vijana wa jimbo la Hanang, wakati wa mkutano wa Katesh
Kinana na Nagu wakikabidhi mizinga ya nyuki kwa vikundi vya vijana Katesh
Mwanachama wa Chadema akirudisha kadi yake kwa Kinana alipoamua kuhamia CCM kwenye mkutano wa Katesh

Kinana akipiga mpira wakati Nagu akisubiri kuudaka, wakati wa ufunguzi mashindano ya vijana Endasaki
Kinana na Sumaye wakishiriki ujenzi Ofisi ya CCM tawi la Qaroda, Hanang. Picha zote naBashir Nkoromo, CCM Blog