Unordered List


KINANA AINGIA BABATI MJINI


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa katika katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya hiyo ya Babati mjini mkoani Manyara. Katikati ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na anayeshangilia kushoto ni Mbunge wa Hanag, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezsshaji, Dk. Mary Nagu.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa katika katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya hiyo ya Babati mjini mkoani Manyara. Kushoto ni Mbunge wa Hanag, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezsshaji, Dk. Mary Nagu.
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana (kushoto), akisalimia watumishi wa hospitali ya wilaya ya Babati, alipofika kwenye hospitali hiyo leo, akiwa katika ziara hiyo ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara.
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akipata maelezo kuhusu huduma za maabara katika hospitali hiyo ya wilaya ya Babati.
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akishiriki ujenzi wa zahanati ya Malangi kata ya Maisaka, Babati Mjini leo
 6. Nape akipanda mti Zahanati ya Malagi
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akikagua bweni alipotembelea shule ya sekondari ya Frederick Sumaye, Kata ya Singe, Babati mjini leo
 Kinana akikagua ujenzi wa ujenzi wa ukumbi kwenye shule hiyo leo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa ngoma kuanza ziara ya siku moja katika wilaya ya Babati mjini leo. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog

Chapisha Maoni

0 Maoni