Unordered List


KINANA AMALIZA ZIARA WILAYA BABATI KWA NA KUFANYA MKUTANO MKUTANO MKUBWA WA HADHARA


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa mjini Babati,
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia mamia ya wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa mjini Babati,
Kinana akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kwaraa mjini Babati kuhutubia mkutano wa hadhara

 Kinana akiwapungia mkono wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa, kuhutrubia mkutano wa hadhara . Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Bodaboda zikitoka Ofisi ya CCM wilaya ya Babati kuongoza msafara kwenda uwanjani. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog

Chapisha Maoni

0 Maoni