Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi kwenye Uwanja wa
shule ya sekondari Sebuka, wilaya ya Ikungi mkoani Singida, leo, Mei
22, 2014
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano huo wa hadhara
Mmoja
wa wananchi mkutano wa Kinana kwenye Kijiji cha Msimi Kata ya Sepuka
wilayani Ikungi akiwa na ujumbe wa wananchi wa kata hiyo kutaka serikali
mbili, wakati wa mkutano wa Kinana uliofanyika leo, Sepuka
3.
Jengo hili lililoko Kijiji cha Msimi, Kata ya Sepuka wilayani Ikungi,
lilifunguliwa maka 2004 na Rais Jakaya Kikwete wakati huo akiwa Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
4. Kinana (kulia) akizungumza na wananchi baada ya kushiriki ujenzi wa zahanati, Kata ya Sepuka, Ikungi
Kinana akishiriki ujenzi wa Ofisi ya CCM Kata ya Ighombwe, wilyani Ikungi. Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nauye
Baadhi
ya wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kupewa kadi na Kinana
baada ya uzinduzi wa Ofisi ya CCM kata ya Inghombwe wilayani Ikungi
Katibu
Mkuu wa CCM, Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape,
wakishiriki kuvuna vizi katika shamba la mkulima Bernado Lazaro
(kushoto) wa Kata ya Puma, wilayani Ikungi mkoani Singida
Kinana akizindua shina la wakereketwa la CCM la Puma, wilayani Ikungi. Shina hilo awali lilikuwa na Chadema
Kinana akizindua shina la CCM la Kina mama washinaji wa Kikundi cha Ebeneza, Puma wilayani Ikungi
Katibu
Mkuu wa CCM, Kinana akizindua shina la wakereketwa wa CCM la Vijana
waendesha pikipiki Puma, wilayani Ikungi.
0 Maoni