Unordered List


RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA PRIVATE BRIAN SALVA RYWEYEMAMU

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jioni ya leo kuhudhuria mazishi ya Private Brian Salva Ryweyemamu akiwa ameongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meja Jenerali Hassan Vuai Chema
  Sehemu ya waombolezaji 
 Sehemu ya waombolezaji 
  Baadhi ya waombolezaji 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jioni ya leo kwenye mazishi ya Private Brian Salva Ryweyemamu. Kushoto ni Katibu Kiongozi Balozi Ombeni Sefua, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meja Jenerali Hassan Vuai Chema
 Katekista aikongoza sala ya mazishi
  Sehemu ya waombolezaji 
  Sehemu ya waombolezaji 
 Jeneza likiwa kaburini
 Wazazi wa marehemu 
 Askari wa JWTZ wakishusha kaburini mwili wa mpiganaji mwenzao 
  Sehemu ya waombolezaji 
 Mama Isabella Salva Rweyemamu akiweka udongo kaburini
 Baba Salva Rweyemamu akiweka udongo kaburini
 Rais Kikwete akiweka udongo kaburini
 Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini
 Dada wa marehemu akiweka udongo
 Dada wa marehemu akiweka udongo
Majonzi ya kupoteza mpendwa
Wanafamilia wakiweka udongo
Waombolezaji wakisogea kuweka udongo kaburini
Waombolezaji wakiweka udongo kaburini
Meja Jenerali 
Salva akipitia ratiba na wasifu wa Brian
Wanafamilia
Gwaride Maalumu likijiandaa kufanya zoezi la kuaga mwenzao kijeshi

Chapisha Maoni

0 Maoni