Katika
hali ya Kuonesha Ubinadamu na Utu kwa Watu Wengine,Mh:Mwigulu Nchemba
aliyekuwa akitoka Dodoma kuelekea Morogoro kwenye Mkutano alilazimika
Kusimama kwa Muda kwenye ajali hiyo kwaajili ya Kutoka Huduma ya Kwanza
kwa Majeruhi kama anavyoonekana Pichani hapo Juu.Jambo hilo
liliwafurahisha sana Wananchi waliokuwa eneo la ajali na waliomba
Viongozi wengine waige tabia hii ya Mwigulu Nchemba ya Kushirikiana na
Wananchi wakati wa Shida husuasani wanapoona ajali
barabarani,Ugonjwa,Misiba n.k wajitahidi kutoa Ushirikiano.
0 Maoni