Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi akiwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana CCM Ndugu Asenga Abubakar katika matembezi ya UVCCM Mkoani Morogoro
Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliyofanyika wilaya ya Wangingombe Mkoa wa Njombe.
Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi akipanda mti wilaya ya Mufindi kata ya Ihanu Mkoa wa
Iringa
Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi akiwa na Mheshimiwa Geofrey Mgimwa Mbunge Jimbo la Kalenga
Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi
akibadilishana mawazo na Mheshimiwa Philip Mangula Makamu Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara.
Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Haidary Alawi
akibadilishana mawazo na Mheshimiwa n Mwigulu Nchemba katika ofisi za CCM Iringa
0 Maoni