Unordered List


NAPE APOKELEWA KISHUJAA NA WANACHAMA WA CCM SAUT MWANZA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokelewa na umati wa watu kwenye eneo la mkutano Nyamalango ambapo atahutubia wanachama wa CCM Tawi la SAUT pamoja na wakazi wa maeneo hayo , pamoja na kuhutubia pia Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi atawapokea wanachama zaidi ya 30 wanaotoka Upinzani na kujiunga na CCM
 Wanachama wa CCM SAUT wakionyesha ujumbe kutoka kwenye mabango
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipeana mikono na wanachama wa CCM SAUT kwenye uwanja wa Nyamalango.
 Nifuraha kwa kila Mwana CCM SAUT wakati wa mapokezi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye.
Ujumbe kutoka kwa Tawi la CCM SAUT

Chapisha Maoni

0 Maoni