Unordered List


RAIS KIKWETE AHANI MISIBA YA KANALI MSTAAFU ALI MWANAKATWE


 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya Marehemu Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe wakati wa hafla ya kuaga mwili wa marehemu katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH) Lugalo, jijini Dar es Salaam  Juni 9, 2014.
  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba na maafisa waandamizi wa jeshi na waombolezaji  wakiwa katika shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH) Lugalo, jijini Dar es Salaam  Juni 9, 2014.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwenya shughuli ya kuaga mwili wa  Marehemu Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe aliyefariki  dunia Jumamosi  asubuhi katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH) Lugalo, jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akifariji wafiwa  kwenya shughuli ya kuaga mwili wa  Marehemu Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe aliyefariki  dunia Jumamosi  asubuhi katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH) Lugalo, jijini Dar es Salaam.

Chapisha Maoni

0 Maoni