Unordered List


SOKO LA MACHINGA KARUME LATEKETEA KWA MOTO



 Soko Maarufu la Mitumba Karume jijini Dare es Salaam limetekea kwa moto ambao mpaka sasa haujajulikana chanzo chake. Moto huo ambao unasemekana ulianzia majira ya jana usiku saa tatu umeteketeza mali za mamilioni ya shilingi na kuacha wafanya biashara wengi kwenye wakati mgumu.
 Moto ukiendelea kuunguza mabati yaliyosalia.
 Kila kitu kimeungua.
Watu wakiokoteza mabati
Mabango ya Matangazo ya Biashara yakiwa yametekea pia.

Chapisha Maoni

0 Maoni