Unordered List


UVCCM WAZIDI KUITESA JUVICUF NA BAVICHA,,,WAKATI WAO WANAHAHA NA UKAWA,,,,UVCCM YAENDELEA NA VIKAO VYA KAZI KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE YA KUSAIDIA VIJANA WA TANZANIA

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi umeonekana kuwa mbele zaidi ya jumuiya nyingine za vyama vya siasa,,,kutokana na taratibu zake za kuamua mambo kwa pamoja na kufanya vikao vyao kwa mujibu wa kanuni,
akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa kikao hicho cha secretariet, mwenyekiti wa kikao hicho ambae ni katibu mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu SIXTUS MAPUNDA, alisema: " hiki ni kikao cha kawaida cha kazi,nawaomba sana jumuiya nyingine za vyama vya siasa kuiga mfano wa UVCCM ili wawe na maamuzi ya pamoja yatakayowaepusha na migogoro ya mara kwa mara...kikao hicho ambacho kwa kawaida uwajumuisha wajumbe toka Bara na Zanzibar pia imedhihirisha kuwa ni jumuiya iliyokuwa kimuungano katika kuidumisha TANZANIA.

Chapisha Maoni

0 Maoni