Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai (pichani) aupongeza uongozi wa Tawi,
CCM DMV Marekani kwa kufanikisha uchaguzi wa Katibu wa Tawi.
Naibu katibu Mkuu Zanzibar alitoa pongezi hizo leo kupitia kwa Katibu Mwenezi, bi Salima Moshi, alisema anupongeza uongozi wa Tawi hilo, wajumbe wa Halmashauri kuu yaTawi, Msimamizi wa uchaguzi, ambaye alikuwa, kada Seif Akida alitokea Tawi la New York.
Aliwapongeza pia Wagombea wote kwa kujitokeza huku akimpongeza kwa dhati mgombea aliyeshinda, na kuwatakia kila la kheri Wanachama wote wa CCM DMV Marekani.
Uongozi wa CCM DMV Marekani nao umesema unashukuru uchaguzi umekwisha salama na kusema "tuendeleze mshikamano wetu Umoja Wetu, ili kuweza kufanikisha shughuli zetu, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
Naibu katibu Mkuu Zanzibar alitoa pongezi hizo leo kupitia kwa Katibu Mwenezi, bi Salima Moshi, alisema anupongeza uongozi wa Tawi hilo, wajumbe wa Halmashauri kuu yaTawi, Msimamizi wa uchaguzi, ambaye alikuwa, kada Seif Akida alitokea Tawi la New York.
Aliwapongeza pia Wagombea wote kwa kujitokeza huku akimpongeza kwa dhati mgombea aliyeshinda, na kuwatakia kila la kheri Wanachama wote wa CCM DMV Marekani.
Uongozi wa CCM DMV Marekani nao umesema unashukuru uchaguzi umekwisha salama na kusema "tuendeleze mshikamano wetu Umoja Wetu, ili kuweza kufanikisha shughuli zetu, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
0 Maoni