Unordered List


MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA MH. MBONI MHITA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHIPUKIZI TAIFA


Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mhe. Mboni Mhita akiwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka wakikagua gwaride la Chipukizi wa Kata ya Msasani.

 Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka akigawa vitabu kwa watoto waishio kwenye kituo cha serikali cha kulelea watoto yatima kilichopo kurasini.
 Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka akigawa vitabu kwa watoto waishio kwenye kituo cha serikali cha kulelea watoto yatima kilichopo kurasini.
"tunawakumbuka watoto wenzetu na tunawajali"Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka akiwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Wilaya ya Temeke(pia Mjumbe wa Baraza Kuu Uvccm Taifa) Mh. Joshua Moshi pamoja na Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Msasani ndg. kibibi wakitoa zawadi kwa watoto waishio kwenye kituo cha serikali cha kulelea watoto yatima kilichopo kurasini.

 Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mhe. Mboni Mhita akiwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wengine
Makamu Mwenyekiti wa Uvccm Taifa Mhe. Mboni Mhita akivishwa sikafu na Chipukizi wa Kata ya Msasani alipokuwa akiwasili kufungua Mkutano Mkuu wa Chipukizi Kata ya Msasani uliyofanyika katika kituo cha Serikali cha kulelea watoto yatima na wenye shida kilichopo kurasini.

Katibu Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Kinondoni Ndg. Omary Bomba akimkaribisha Makamu Mwenyekiti Uvccm Taifa Mhe. Mboni Mhita kukagua gwaride la Chipukizi wa Kata ya Msasani.

Chapisha Maoni

0 Maoni