Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akisaini Kitabu cha Wageni cha Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akimuapisha Kamanda wa Wilaya ya Kilolo Prof. Peter Mahmudu Msola ambae pia ni Mbunge wa Jimbo hilo. |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akibadilishana mawazo na Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Iringa Alawi Haidary Foum |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akiwa naKamanda wa Wilaya ya Kilolo Prof. Peter Mahmudu Msola ambae pia ni Mbunge wa Jimbo hilo. |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma akihutubia wananchi. |
Makamanda wa Kata 25 za Wilaya ya Kilolo. |
0 Maoni