Unordered List


RAIS KIKWETE AFUTURU NA VIJANA WA CCM

Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mbeya Kamanda Said Yassin akiwa na Viongozi wakati wakipata Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Mh. Jakaya Kikwete

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Mbeya Mjini Mh. Malanyingi Matukuta akiwa anapata Futari.




Chapisha Maoni

0 Maoni