Unordered List


JENGO LA ZAMANI LA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA VIJANA WA CCM TAIFA YAANZA KUBOMOLEWA

Alama ya Nguvu ya Kijana kwa Taifa

jengo la kihistoria la UVCCM limeanza kubomolewa kupisha ujenzi mwingine wa jengo la vijana
.
HONGERENI SANA VIONGOZI WAKUU WA UVCCM KWA JUHUDI NA HATIMAE YAMEANZA KUTIMIA.

ni akili ya kawaida sana kama mzee Sabodo aliwauliza wale watani zetu niwasaidie nini,,,,kumwambia tu "mzee tunakiwanja bunju tujengee ata jengo la makao makuu ya BAVICHA,,," ni akili tu ya kawaida sana ,,,,LAKINI DUU
WATU WANAPENDA CASH,,,WASHAIMALIZA,,,babu na wenzake

HAYA YANATAKA KUFIKIRI

TWENDENI PAMOJA UVCCM
UMOJA NI USHINDI


Chapisha Maoni

0 Maoni