Hapa ilikuwa mwisho wa ziara wilayani Igunga kwa M.kiti Uvccm Mkoa wa
Tabora kuzindua ligi ya Uvccm Gulamali Cup ambapo timu za Kata zoote 24
zitashiriki kuanzia kushindana kuanzia Vijiji na Vitongoji na kupata
bingwa wa Kata na baadae Tarafa zaidi ya timu 260 zitashiriki ni sawa na
vijana wasiopungua 4000 watashiriki hii ni sehemu mojawapo ya
kufahamiana,Ni furaha,kujenga Upendo kukuza vipaji vyao lakini pia
Uchumi.nipende kuwaambia Asanteni sana wakazi woote wa Igunga kwa
Mapokezi yenu yale yoote tuliyoyaona na kuyasikia tutayafanyia kazi. |
0 Maoni