Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Komredi. Ally Mfaume Kizigo akitoa
pole kwa wafiwa katika msiba wa baba yake Katibu wa UVCCM Mkoa wa
Kilimanjaro Ndg. Yassin Lema.
Mazishi ya Mzee Lema yalifanyika katika kijiji cha Uswaa, Machame Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro.
0 Maoni