Mbunge
wa jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akipokelewa na Viongozi wa
Vikundi vya wajasiriamali Kutoka Manispaa ya Morogoro Mara baada ya
kuwasili tayari kushirikiana nao katiaka sherehe iliyoandaliwa na
vikundi hivyo kwajili ya kumpongeza Mbunge huyu kwa msaada wake anaotoa
na kuwawezesha katika shuguli zao za ujasiriamali.
Mbunge
wa jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisalimiana na wanachama wa
vikundi Mbalimbali kutoka kwenye kata mbalimbali manispaa ya Morogoro.
Wanachama
wa vikundi vya wajasiriamali manispaa ya morogoro wakimsikiliza kwa
makini Mlezi wa Vikundi hivyo ambaye pia Ni Mbunge wa Jimbo la Morogoro
Mjin Mh Aziz Abood.
Mbunge
wa jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akitoa hotuba yake wakati wa
shere ya kupongezwa iliyoandaliwa na vikundi vya wajasiriamali kutoka
manispaa ya Morogor.Ambapo Mbunge huyo amesema ameshatekeleza ahadi zake
alizotoa wakati wa kuomba kuchauliwa kuwa mbunge na kilichobaki
anamalizia kwa muda huu uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu
mwakani.Akielezea kwa kifupi alisema Barabara Nyingi za manispaa ya
Morogoro kwa saa zimejengwa kwa kiwango cha lami.Amekarabati vituo vya
afya katika kata mbalimabila,Amelipia ada wanafunzi wasio na uwezo zaidi
7OO ,Pia amedhibiti matumizi mabaya ya fedha za wananchi.
Mbunge
wa jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akitoa hotuba yake wakati wa
shere ya kupongezwa iliyoandaliwa na vikundi vya wajasiriamali kutoka
manispaa ya Morogor.Ambapo Mbunge huyo amewahakikikshia wanachama wa
vikundi hiyo kuwa nao bega kwa bega katika shuguli zao za kila siku.na
muda wowowte wakiitaji msaada toka kwake wasisite kwenda kumwona.Ambapo
wanachama wa vikundi hiyo wamempongeza mbunge huyo kwa mssa wake mkubwa
wa kuviwezesha vikundi hiyo na wamemuahidi kuwa Mbuinge wao na mwaka
kesho watamchukulia fomu ya ubunge ili aendelee kuwa mbunge wao maana
hawajona mbunge kama yeye.
0 Maoni