PICHA SITA ZA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUACHIWA KWA DHAMANA LEO HII
Taarifa
zinazomhusu msanii Diamond Platnumz kuhojiwa na jeshi la Polisi hii leo
zimeenea sana kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuanzia
jana (tarehe 21 Oktoba) meneja wa msanii huyo Babu Tale amekua
akihojiwa na polisi mpaka alipoachiwa kwa dhamana mapema leo saa 5. .
Vile
vile msanii Diamond aliripoti polisi mapema leo kwa ajili ya kuhojiwa,
ambapo baada ya kuhojiwa msanii huyo ameachiwa kwa dhamana pia jioni
hii.Hizi ni picha zikimuonesha msanii Diamond akitoka kuhojiwa na jeshi la polisi.
0 Maoni