Unordered List


KINANA ATINGA IRINGA, ASEMA UCHAGUZI UJAO WAPINZANI WATAPUKUTIKA


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akivishwa skafu, baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Iringa Vijijini, leo. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga na Wapili kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Isimani William Lukuvi wakati wa mapokezi hayo

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mbunge wa Kilolo Profesa Peter Msola wakati wa mapokezi hayo
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa, Asas





Na Sufyan Omar

Chapisha Maoni

0 Maoni