Mgeni
rasmi katika Siku ya Msanii Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo katika siku ya
Msanii Mlimani city.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo.
Wafanyakazi
wa Global Publishers, Mhariri wa gazeti la Risasi Jumamosi, Eric
Evarist (kushoto) akiwa na Andrew Carlos (katikati).(P.T)
Kikundi cha ngoma za kinyeji kikitoa burudanu usiku huu Siku ya Msanii Mlimani City.
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL)
0 Maoni