MH. MWANDOSYA AMUWAKILISHA JK SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA ZAMBIA
Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara maalum.Mhe. Mark Mwandosya
akisalimiana na Makamu wa Rais wa Kenya Mhe William Ruto wakati wa
sherehe za kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru wa Zambia Mjini Lusaka jana.
Mhe. Mwandosya alimuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika sherehe
hizo.
Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara maalum,Mhe. Mark Mwandosya na
mkewe Lucy Mwandosya wakisalimiana na Rais wa kwanza wa Zambia Mzee
Kenneth Kaunda wakati wa sherehe za kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru wa
Zambia Mjini Lusaka. Mhe. Mwandosya alimuwakilisha Rais Jakaya Mrisho
Kikwete katika sherehe hizo ambazo zimefanyika Mjini Lusaka .(P.T)
Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara maalum,Mhe. Mark Mwandosya (wa
tatu kulia ) pamoja na Mkewe Lucy Mwandosya wakishiriki kuimba Wimbo wa
Taifa wa Zambia wakati wa sherehe za kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru wa
Zambia Mjini Lusaka. Wengine kutoka kulia ni Kaimu Rais wa Zambia Mhe
Edgar Lungu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi, na wa pili kulia ni Makamu
wa Rais wa Nigeria Monance Namadi Sambo.
0 Maoni