MKT WA UVCCM MKOA WA MTWARA BWANA CHULIMBA;akifunga kambi ya
vijana ya mkoa wa mtawara, aliwataka vijana hao kuhakikisha wanazingatia
mafunzo waliopewa katika kukisaidia chama cha mapinduzi atika chaguzi zijazo
lakini pia kupitisha katiba mpya itakapo anza
Akiwa ameambatana na Bi Halima Bulembo ambae ni mjumbe wa
baraza kuu Taifa na Bi Deisy kamanada wa UVCCM wilaya ya Masasi CHILUMBA
ALISEMA…’ nyie ni mashahidi sasa kuwa Mtwara
ni tulivu si ile ya wakati wa vugu vugu la gesi,hii yote ni kazi yetu vijana
kukataa kutumika na wale vibaraka wa maendeleo,nawasihii kuendelea na msimamo huo,kusoma na
kujibidiisha kwa bidii katika kujenga maisha yetu,,twendeni tukawe mabalozi wa
zuri wa CCM kila tufikapo,,,tushikane kuhakikisha UKAWA Mtwara inazidi
kusambaratika,,,”
Akiongeza Bi Halima Bulembo alisema “ nawapongeza sana kwa
ujasiiri wenu wakuvumilia kambini,hasa wakina dada na huu ndio moyo
unaotakiwa,,lazima wanawake tuonyeshe tunaweza kwa kuwa tunaweza lazima tuwe na
juhudi ili tufanikiwe zaidi,nawashukuru sana kwa heshima kubwa
mlionipa,nawatakia kila la heri na mimi nipo tayari wakati wote tusaidiane kukijenga chama
chetu,,asanteni sana..”
AMA KWA HAKIKA UVCCM SASA IMEAMUA KUPAMBANA NA UKAWA,,,LEO
UVCCM MKOA WA PWANI WANAFANYA BARAZA LA VIJANA
TUTAWALETEA MATUKIO
HAPA NA KWENYE WEBSITE YA www.uvccm.ccm.or.tz BAADAE KIDOGO
0 Maoni