Katibu wa Umoja wa Vijana Taifa Mh Mapunda akiwa ziara ya Kuimarisha Chama Mkoani Ruvuma.Ziara yake anakatiza kijiji kwa kijiji kukagua Kero Mbalimbali Pamoja na kusikiliza wananchi
Mh Mapunda Akiwahutubia wakazi wa Nyasa waliojitokeza kwa wingi Katika Mkutano wake.
0 Maoni