Naibu
katibu mkuu CCM bara ambaye pia ni Naibu waziri wa fedha Mwigulu
Nchemba akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wakazi wa manispaa ya
Shinyanga katika uwanja wa SHYCOM ,ambapo alizindua rasmi kampeni za
uchanguzi wa serikali za mitaa na kusimika makamanda wa wilaya pamoja
na mkoa. Mwigulu alitumia fursa hiyo kuwataka
makamanda waliosimikwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu bila kuwafumbia macho watakao kwenda kinyume na taratibu za chama, ili kulinda heshima iliyopo pamoja na kusimamia kikamilifu zoezi lililopo mbele yao ili washinde kwa kishindo.
|
0 Maoni