Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru akimpongeza Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kulihutubia taifa kwa kupitia wazee wa Dar es Salaam leo katika ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mbunge wa Kionondoni Iddi Azzan muda mfupi baadaya baada ya kulihutubia taifa kwa kupitia wazee wa Dar es Salaam leo katika ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam leo.
0 Maoni