Unordered List


RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM ZANZIBAR.

 Pichani kati ni Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt Jakaya Kikwete,akiwaongoza wajumbe (hawapo pichani) wa Kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ndani ya ukumbi ya Afisi ya CCM makao Makuu Kisiwandui mjini Zanzibar,Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na shoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,Dkt.Ali Mohamed Shein
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwakaribisha Wajumbe wa kikao cha kawaida cha kamati Kuu ya CCM,ndani ya ukumbi ya Afisi ya CCM makao Makuu Kisiwandui mjini Zanzibar
Wajumbe wa Kikao cha Kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,wakiwa katika ukumbi wa Afisi ya CCM makao Makuu Kisiwandui mjini Zanzibar,tayari kwa kuanza kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho,Rais Dkt Jakaya Kikwete.
 Mwenyekiti wa CCM,Rais Dkt Jakaya Kikwete akipokelewa na  Katibu Mkuu wa CCM,Ndg.Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar kabla ya kuanza kwa kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,kilichofanyika leo mjini Zanzibar.

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndg.Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa CCM,Dkt.Ali Mohamed Shein nje ya ukumbi kabla ya kuanza kwa kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar.
Makamu wa Rais,Dkt.Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Naibu katibu Mkuu CCM-Zanzibar Ndg.Vuai Ali Vuai alipokuwa akiwasili katika kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar.
 Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu katibu Mkuu CCM-Zanzibar Ndg.Vuai Ali Vuai alipokuwa akiwasili katika kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar.
 Makamu Mwenyeki wa Chama cha CCM Bara,Ndg.Philip Mangula akipokelewa wakati alipokuwa akiwasili katika kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Wanahabari wakiwa nje ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar mapema leo
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM pichani kulia Ndg.William Lukuvi na shoto ni Ndg.Adam Kimbisa wakiwasili katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanzibar

Chapisha Maoni

0 Maoni