Unordered List


KINANA AWATAKA WANANCHI WA VUCHAMA WILAYA YA MWANGA KUENDELEA KUSHIKAMANA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kikundi cha ngoma wakati akiwasili kwenye kata ya Kileo,wilaya ya Mwanga ,anayeongozana na Katibu Mkuu ni Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe.
 Kikundi cha utamaduni kikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu abdulrahman Kinana alipotembelea kwenye kijiji cha Kileo,kata ya Kileo ambapo alijionea ujenzi wa nyumba za kisasa za walimu
Nyumba ya kisasa ya  Waalimu wa shule ya sekondari Kileo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa kata ya Kileo ambapo alijionea ujenzi wa nyumba bora za walimu.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipita juu ya mfereji wa maji katika Skimu ya umwagiliaji Kivulini
Mbunge wa Jimbo la Mwanga ,Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe (katikati) akimpa maelezo ya mradi Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kushoto) wakati alipotembelea skimu ya umagiliaji Kivulini ,mwingine pichani ni Katibu wa CCM Tawi la Kivulini Ndugu Nuru Juma Mwanga.
Skimu hii ya Umwagiliaji Kivulini hulimwa mpunga, mahindi,maharagwe na mboga mboga za majani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa mtaro wa maji katika skimu ya umwagiliaji Kivulini, kushoto ni Profesa Jumanne Maghembe Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kivulini wilaya ya Mwanga na kuwaambia wajitahidi kutafuta masoko nje zaidi ya mkaa maalumu unaotengenezwa pumba ya mchele pamoja na majani ya makuruwila.
Mkaa huo unatengenezwa na kikundi cha Mkombozi Kivulini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye mara baada ya kuzungumza na wananchi wa kata ya Kivulini, Kileo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinanaakizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Profesa Jumanne wakati wa kukagua mashine za kuvunia mpunga

 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Lembeni kijiji cha Mangara ambapo alihimiza waendelee kushikama na kuwa na umoja.
Mbunge wa Jimbo la Mwanga akizungumza na wananchi wa kijiji chaMangara ,kata ya Lembeni .
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya ya Mwanga Ndugu Joseph Tadayo akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Mangara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi la ofisi ya CCM tawi la Mangara kata ya Lembeni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti kama ishara ya kutunza mazingira nje ya jengo la ofisi ya CCM tawi la Mangara, Lembeni wilaya ya Mwanga.
Mbunge wa Jimbo la Mwanga ambaye pia ni Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe akicheza ngoma ya asili mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kabla ya kuingia kwenyekikao cha Halmashauri Kuu ya wilaya.
Wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Mwanga wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana .
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kuimarisha na kukijenga chama mkoa wa Kilimanjaro
 
 Mbunge wa Jimbo la Mwanga Profesa Jumanne Maghembe akisalimiana na Ndugu Wildad Msuya mara baada ya kuwali kwenye kijiji cha Kifula.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiingia kwenye uwanja wa mikutano Vuchama akiongozana na kikundi cha ngoma ya asili ya mjungu
Mjumbe wa NEC ,Ndugu Joseph Tadayo akiwasalimu wananchi wa Vuchama wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika uwanjani Vuchama wilaya ya Mwanga.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kijiji cha Vuchama kata ya Mwaniko ambapo aliwaambia wapinzani wameshapoteza dira.
Mzee akifuatilia kwa makini hotuba za viongozi wa chama.
Wazee wa Vuchama wakisikiliza hotuba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kijiji cha Mwaniko kata ya Vuchama na kuwataka washkamane katika kusimamia haki na shughuli zao za kila siku za kuletea maendeleo.

Chapisha Maoni

0 Maoni