Unordered List


RAIS ROBERT MUGABE AWASILI ARUSHA KUFUNGUA KONGAMANO LA TATU LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA-CHINA


 Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbambwe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA tayari kushiriki ufunguzi wa Kongamano la Viongozi Vijana Afrika-China .
  Rais Robert Mugabe akisalimiana  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa ndege wa KIA
 Rais Robert Mugabe akizungumza jambo wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa ndege wa KIA
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe akiwa na viongozi mbali mbali akiwemo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

Chapisha Maoni

0 Maoni