Unordered List


SIXTUS MAPUNDA AMALIZA UKAWA IRINGA VIJIJINI

Tukiwa katika Kata ya Idodi kijiji cha Mapogolo, Jimbo la Isimani, Wilaya ya Iringa Vijijini. Tumepata wanachama wapya 592 kutoka kwenye jamii ya kimasai na ya kimang'ati. Aidha UVCCM itaweka kambi mara baada ya kufunga shule ya sekondari ya Idodi ili tufyatue matofali na kujenga mabweni 12 yaliyo athirika na ajali ya moto. Aluta continua!!

Chapisha Maoni

0 Maoni