Tukiwa
katika Kata ya Idodi kijiji cha Mapogolo, Jimbo la Isimani, Wilaya ya
Iringa Vijijini. Tumepata wanachama wapya 592 kutoka kwenye jamii ya
kimasai na ya kimang'ati. Aidha UVCCM itaweka kambi mara baada ya
kufunga shule ya sekondari ya Idodi ili tufyatue matofali na kujenga
mabweni 12 yaliyo athirika na ajali ya moto. Aluta continua!!
0 Maoni