Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akiwa ameketi katika moja ya madawati yakisasa aliyo
yapokea kutoka kiwanda cha Jambo Plastics Ltd ya Jijini Dar es salaam
kwa ajili ya kuisaidia Skuli ya Kiembe samaki Zanzibar anaye shuhudia
katikati waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe. Omari Yusufu Mzee. Kulia ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Plastics Limited Rupa Suchak katika sherehe
hizo za kukabidhi zimefanyika katika Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
ambako Waziri Mkuu alikuwa Zanzibar kikazi
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akimshukuru Mkurugenzi mtendeji wa Jambo Plastics Ltd
Rupa Suchak kwa kwa kuiunga serikali mkono kwa kutoa msaada wa madawati
ya kisasa yaliyotengenezwa kwa Plastiki ili kupunguza tatizo la
madawati katika Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar. Katikati wanaoshuhudia
kushoto Waziri wa Elimu Zanzibar Alli Juma Shamuhuna na kulia ni Waziri
wa Fedha Zanzibar Omari Yusufu Mzee Suchak sherehe hizo za kukabidhi
zimefanyika katika Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar.
Wanafunzi
wa Skuli ya Kiembesamaki wakimfurahia Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye
alifika shuleni hapo kuwakabidhi madawati. Picha zote na Chris Mfinanga.(Muro)
0 Maoni