Unordered List


WAZIRI MKUU ATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA

WAZIRI MKUU MH: MZENGO PINDA ATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA AZAWADIWA KIFIMBO

Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh: Pinda akiwasha mshumaa kwenye kaburi  la hayati Baba wa Taifa huko butiama
Waziri mkuu Mh: Pinda akisalimiana na mtoto wa mwalimu wa Baba wa Taifa Madaraka Nyerere alipotembelea Butihama
Waziri mkuu Mh: Pinda akizungumza na mama Maria Nyerere butiama
Waziri mkuu wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mh: Pinda akishika kifimbo baada ya kupewa kama zawadi na familia ya baba wa Taifa

na Adnan

Chapisha Maoni

0 Maoni