Unordered List


ZIARA YA KATIBU MKUU NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA


Katibu mkkuu CCM Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Ngudu, Ndugu Kinana aliwataka vijana wa kitanzania kuacha kabisa kuhadaika na Baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa wakiwapotosha na kuamini kila kitu kitapatikana bila ya kufanya kazi na kujituma.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA katika kijiji cha Ikula kata ya Ikula wilayani Kwimba ndugu Amara Materemki akizungumza baada ya kuamua kukihama chama hicho na kujiunga na CCM wakati wa mkutano huo.
Katibu mkuu wa CCM akionyesha baadhi ya kadi za wafuasi wa chama cha chadema tayari kwa kuhamia CCM.


na: Adnan Juma



Chapisha Maoni

0 Maoni