Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Mjini Dodoma, Julai 9, 2015. Kulia ni Spika wa Bunge Anna Makinda
Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal na Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein wakimsikiliza Rais Kikiwete wakati akilihutubia Bunge mjini Dodoma
Wadau walioingia kwenye ukumbi wa Bunge wakimsikiliza Rais Kikwete
Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal na Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein wakimsikiliza Rais Kikiwete wakati akilihutubia Bunge mjini Dodoma
Wadau walioingia kwenye ukumbi wa Bunge wakimsikiliza Rais Kikwete
Hali ya ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akilihutubia Bunge mjini Dodoma.
Hali ya ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akilihutubia Bunge mjini Dodoma.
Na Sufyan Omar
0 Maoni