Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanania DK: Jakaya Kikwete akijaza fomu katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Kijijini kwake msoga wilayani Bagamoyo
Raisi Jakaya Kikwete akiwa katika mkao tayari kwa zoezi la picha kwa ajili ya kitambulisho cha kupigia kura
posted: Adnan
0 Maoni