Unordered List


BALOZI JUMA MWAPACHU ARUDI CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu akipokea Kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mikocheni, jijini Dar es salaam leo Machi 16, 2016 baada ya kutangaza kurejea kwenye Chama chake hicho cha awali alichokihama mwishoni mwa mwaka jana.
Balozi Juma Mwapachu akizungumza mbele ya Wanachama na Makada wa CCM waliofika Ofisi ya chama hicho Kata ya Mikocheni jijini Dar baada ya kurudi kundini.
Balozi Juma Mwapachu akipongezwa na Mwanachama wa CCM.
Ifuatayo ndiyo hotuba aliyoisoma Balozi Mwapachu katika hafla hiyo

Chapisha Maoni

0 Maoni