Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu Juma Raibu akiwa katika Mkutano wa hadhara Wilaya ya Mwanga Kata ya Mwanga mjini, Leo tarehe 18/03/2016 katika ziara ya kuimarisha jumuiya ya vijana Mkoa wa Kilimanjaro. |
0 Maoni